Wednesday, July 8, 2009

WANAUME WANAHITAJI NINI KATIKA MAPENZI

Question: What are the biggest mistakes women make in understanding what men need to feel loved?
Answer: I think the thing women don't understand about men is that no matter how unemotional-seeming a man is, he actually is very emotional. Men are trained not to act emotional, and they're not even trained how to express themselves emotionally. But even the most unexpressive man actually has a lot of feelings and he needs support and tenderness. And, in fact, even though women don't want this to be true, it is the case that men who are married take a lot of pleasure and get a lot of self-esteem from whether they're wanted sexually by their wives, and also, from whether they are able to give their wives and receive a lot of really good sexual pleasure.

Question: At what point in a relationship should my partner and I consider relationship counseling?

Answer: You'll know you need relationship counseling if you find yourself thinking about the other person and assuming that they're purposely trying to bug you and thinking angry things about them in your head and having a relentless negative monologue about what a jerk they are. And if you're doing that, you absolutely need to go to couples counseling and you need to do it as soon as you can.

Friday, July 3, 2009

HOW TO MAKE A MAN AND WOMAN HAPPY

How Men can Make a Woman Happy
It's not difficult to make a woman happy. A man only needs to be:
1. a friend2. a companion3. a lover4. a brother5.. a father 6. a master7. a chef
8. an electrician9. a carpenter10. a plumber 11. a mechanic12. a decorator
13.. a stylist 14. a sexologist15. a gynecologist 16. a psychologist 17. a pest exterminator 18. a psychiatrist 19. a healer 20. a good listener 21. an organizer 22. a good father 23.. very clean 24. sympathetic 25. athletic 26.. warm
27. attentive 28. gallant 29. intelligent 30. funny 31. creative32. tender
33. strong 34. understanding 35. tolerant 36. prudent 37.. ambitious
38. capable 39. courageous 40. Determined! 41. true 42. dependable
43.. passionate 44. compassionateWITHOUT FORGETTING TO: 45. give her compliments regularly 46. love shopping 47. be honest 48. be very rich
49. not stress her out 50. not look at other girlsAND AT THE SAME TIME, YOU MUST ALSO: 51. give her lots of attention, but expect little yourself 52. give her lots of time, especially time for herself 53. give her lots of space, never worrying about where she goes IT IS VERY IMPORTANT: 54. Never to forget:* birthdays* anniversaries * arrangements she makes
HOW TO MAKE A MAN HAPPY
1. Show up naked
2. Bring Alcohol
have a nice wkend wapendwa... Ila mbona hamtoi maoni???

Thursday, July 2, 2009

MDAU ALONGA NA BLOG YA MALAVIDAVI

Mambo kadhaa yakumfanyia mwenza wako kumsaidia kuvishinda vishawishi! Kila mwanaume anapaswa kujua nini kinachomfanya mwanamke/msichana apagawe kunako sita kwa sita, hali kadhalika mwanamke anapaswa kufahamu mambo kadha wa kadhaa ambayo akimfanyia mwenza wake atamfanya avishinde vishawishi vya kumsaliti. Hii inamaanisha nini?
Inamaanisha kuwa, kila mwanaume na mwanamke anapaswa kufahamu jinsi gani wanaume walivyo tofauti na wanawake.
Mwanamke anapaswa kufahamu kwamba wanaume huamsha hisia za mapenzi kutokana na kile wanachokiona. Hivyo pindi anapoona msichana mwenye shepu akiwa amevaa nguo inayoiweka shepu yake bayana, ghafla hisia kali za mapenzi humjia, hata kama anajua baadhi ya utu ama tabia zake mbaya.
Kuona tu jinsi binti alivyoumbika, hiyo ni tosha kwake kumfanya ahitaji kuwa naye faragha na hapo ndipo atakapoanza kupigana na mhemuko wa mwili wake kujizuia kuingia katika kishawishi cha kufanya ngono na mrembo aliyemuona.
Kwa upande mwingine, wanaume wanapaswa kufahamu kwamba wanawake wapo tofauti. Hisia za mapenzi za mwanamke huamka pindi mwanaume anapomtimizia mahitaji yake ya moyo wake. Huhisi kupagawa pindi anapokutana na mtu ambaye anaweka kipaumbele mawasiliano baina yao na kujali hisia ama mawazo yake.
Kwa mwanamke muelewa mara nyingi muonekano wenye mvuto pekee kwake haumuingizi kwenye vishawishi kwa kiasi kikubwa kama ilivyo kwa wanaume. Kitu pekee kwake kinachoamsha hisia zake za mapenzi kwa haraka zaidi ni kuwa na mwanaume anayeongea naye, kumsikiliza, kuthamini mawazo yake, na kufikiria mahitaji yake muhimu. Pindi mwanaume wa aina hii anapomwambia “ Nakupenda..muache mumeo tutumia usiku wa leo pamoja,” huhitaji kutumia busara na hekima kuweza kuvishinda vishawishi vya kutoa penzi kwa mwanaume wa aina hiyo!
Aidha, watu wengi walio katika mahusiano hujikuta wakikumbwa na matatizo kadha wa kadha wawapo faragha kwa sababu tu mwanaume na mwanamke hawajui tofauti iliyopo baina ya mwanaume na mwanamke. Mfano, mwanamke anaweza kupanda kitandani akiwa amevaa pajama ambalo halioneshi shepu yake huku mwanaume akitamani kumuona mpenzi wake akiwa amevalia nguo ya usiku inayomtia hamasa ya mapenzi ama kumuona akiwa hajavaa chochote! Anahitaji kumuona mpenzi wake vema hivyo kumuona akiwa katika vazi lisilompa nafasi hiyo kunamkwaza.
Hapa kosa kubwa lipo miongoni mwa wanawake wengi ni kuwa “ Ameshaniona mwili wangu zaidi ya mara 1000.” Hivyo kwao kumpa nafasi mwenza wake kuuona mwili wake hakuna umuhimu.
Kimsingi wanawake wa namna hii ndio mara nyingi hujikuta waume zao pindi wanaporejea nyumbani huishia sebuleni na kusoma gazeti. Anajihisi kuchoka, hahitaji mkewe ama mtoto amsumbue na akikalibishwa mezani kwaajili ya chakula huongea maneno yasiyozidi kumi.
Hufanya haya yote si kwa sababu anamchukia mkewe la hasha bali hugeuka kuwa mbinafsi anayetaka kutumia muda wake kujipumzisha na kufikiria mahitaji yake na si ya mwenza wake.
Hatua hiyo ikijitokeza baina ya wapendanao mambo huharibika, hamasa ya mapenzi kwa mmoja wao hutoweka kwani inapofika wakati wa kwenda kujipumzisha kitandani. Mwanaume anapomuona mwenza wake akitoka bafuni akiwa na kanga moja iliyomshika vema maungo yake, mapigo ya moyo na damu humuenda mbio akitamani kumkumbatia bibie ili apate kitu roho inapenda!
Wakati mwanaume akiwaza hayo, mambo huwa tofauti kwa mwanamke kwani hutawaliwa na maswali kadhaa kama “ Hivi ni kweli ananipenda? Namashaka. Haongei nami wala kunisaidia kwa lolote. Anachotaka ni kunitumia kama chombo cha starehe tu huyu.”
Hivyo basi, mwanamke atamuachia mwenza wake mwili autumie atakavyo kutimiza haja zake, lakini hatafika kilele kamwe kwani hatahisi anapendwa bali anatumiwa kama chombo cha starehe.
Hata hivyo, pindi mwanaume atakapokuwa akijipa raha toka kwa mwenza wake huyo, atatawaliwa na woga kwa sababu ataona wazi kuwa bibie hafurahii tendo la ndoa. Hivyo atajiuliza maswali mengi “ Kwa nini nimeshindwa kumpagawisha mamaa? Je, nyeti yangu ni ndogo?”
Hapa ndipo mwanamke anapotakiwa kumueleza bayana kuwa, “ Uume wako upo sawa ila mawasiliano yako kwangfu ni finyu.”
Kimsingi mwanaume anaporudi toka kazini anapaswa kuzungumza na mwenza wake, kujenga urafiki naye, kumuoneshe kuwa anamjali na kuthamini utu wake na usimfanye ajione kama mtu baki.
Aidha, mwanaume anapaswa kumueleza mwenza wake kuwa, “ Unapokuwa kwenye jumuia, vaa nguo ambazo hazitaamsha hisia za mapenzi kwa watu baki, lakini unapokuwa nyumbani hakikisha unavaa nguo hizo kwaajili yangu tu.”
Kufanya hivyo kutamueleza mumeo kuwa, “unampenda yeye tu na wanaume wengine hawana nafasi katika moyo wako!
Mwisho nimalize kwa kusema kuwa, wanawake huamsha hisia za mapenzi kwa wanaume ambao huyapa kipaumbele mawasiliano, lakini mawasiliano hayo humpagawisha zaidi yakiwa ya kirafiki zaidi (fanya kama unawasiliana na rafiki yako, usiogope kumchombeza na utani inapobidi) na pia hukoshwa na wanaume wanaowajali.
Kwa upande wa mwanaume, yeye hisia zake huamka pindi anapoona shepu (wapo wanaopenda wenye figa za kibantu na wengine za kimiss).
Hivyo, kama mmefanikiwa kupata watoto wa wa kike hakikisheni mnawaeleza kuwa, nguo za aina fulani huamsha hisia za mapenzi kwa wanaume, kwa hivyo waache kuzivaa nyumbani hata mitaani kujiepusha na vishawishi.
Shukrani kwa mdau aliyetulitea makala hii...

Wednesday, July 1, 2009

Quiz of the Day

Would you marry / date someone who can't / wont keep a job?

Msaada wa malavidavi

Habari dada,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 40, na nilikuwa nimeoa kwa miaka 10 ila sikubahatika kupata mtoto, na ndoa yangu haikudumu na ikapelekea mimi kuachana na mke wangu. Sababu kubwa ni kwamba nilimfumania mke wangu na mwanaume mwingine hotelini wakiwa katika shughuli za kimahaba. Roho iliniuma sana na ikapelekea mimi kumfukuza mke wangu na kuachana nae. Kwa sasa nina mwaka mmoja tangu tuachane,ila kuna wakati huwa namkumbuka sana mke wangu.
Hivi majuzi mke wangu kanipigia akiniomba msamaha na kwamba angependa kurudi kwangu tuishi pamoja maana bado ananipenda. Dada mimi niko njia panda maana sielewi nimjibu nini kwa kipindi hiki, je nimruhusu arudi au nimkatalie? Tafadhali naomba wadau wanishauri maana niko njia panda. Kumpenda bado nampenda ila sijasahau alivyonitenda...
Tafadhali wekajina langu kapuni..
Asante sana dada....

Maswali muhimu katika mahusiano




Wapendwa wadau, leo ningependa tujiulize na kujikumbusha vitu vitatu ambavyo kwangu mimi naona ni muhimu kwenye mapenzi. Mara nyingi binadamu tunapenda kulaumu bila kujiuliza sababu za penzi kuporomoka, hivyo basi napenda kuwajulisha vitu vitatu ambavyo vinaweza kuchangia penzi lenu kuwa imara kila siku.




1. Muulize mpenzi wako ni vitu gani usivyopenda?


2. Ni kipindi gani tulifurahia pamoja na kwa sababu gani?


3. Ni wapi unadhani tunaelekea?