Friday, July 17, 2009

Jinsi ya kuita Utamu a.k.a Kilele a.k.a O a.k.a.....

Kama ambavyo wengi tunatambua kuwa sehemu kubwa (asilimia 99.5) ya kufurahia ngono ni Mapenzi ya kweli juu ya mpenzi wako ikisaidiwa na utundu wako wewe mwenyewe manamke na sio mwanaume japokuwa baadhi ya wanawake hutegemea wanaume wawafanyie kila kitu mpaka kuwafikishe.

Wakati mwingine wanaume huchoka kwa vile kwa kawaida wanawake tunachukua muda mrefu zaidi kufikia mshindo ukilinganisha na wanaume, kwamba mwanamke anafika ndani ya dakika 10-15 wakati mwanaume anafika ndani ya dakika 1-5 unless awe anajua kujizuia nahapo ndio atakwenda mpaka dakika 45 na baadhi huondoka zaidi ya hapo kutokana na kutosisimuliwa vilivyo (yaani akikupanda hamalizi mpaka uke unakauka na wewe hamu inakuishia) hahahahaha!

Well, back to topic......

Mbinu ya kuita kilele sio ngumu kama wengi mlivyokuwa mkifikiria/dhania bali ni ya kawaida sana na utashangaa ni jinsi gani inafanya kazi, na ikiwa umebahatika kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kujizuia basi unaweza kupiga 3 ktk mzunguuko wa kwanza.

Unapokuwa ukifanya mapenzi hakikisha akili yako yote iko kwenye kufanya mapenzi, sio lazima umfikirie mpenzi wako bali unaweza kufikiria chochote kitakacho kufanya "unyegetuke" zaidi wakati "mzigo" uko ndani ya uke sio.

Mfano unaweza kumuuliza mpenzi wako akuambie anafanya nini in rude way, au kama anakujua vizuri basi anaweza akaanza kusifia Uke wako ulivyo, anavopenda kukufanya n.k (wengine nasikia huomba kutukaniwa wazazi wao.....hey it works 4 them so jaribu na wewe)

Jinsi jamaa anavyokufanya wewe pia msaidie.......well jisaidie na hakikisha unahangaika kupata "kipele" (mahali unaposikia raha zaidi pakiguswa), ukisha hisi mwambie atulie hapo hapo na wewe anza kufanya "makaratee" zunguusha kiuno chako ktk pembe zote (badilisha mirindimo) na wakati unafanya hivyo hakikisha unabana pumzi na kuiachia papo kwa hapo (hakikisha huiachii kwa muda mrefu yani in sec unabana na kuiachia).

Psssssssssssi: Sometimes u have 2 be a little selfish ei? Wanaume wakibana pumzi wanachelewa kufika lakini mwanamke ukibana pumzi unawahi kufika.....hii ni kutokana na uzoefu na nime-share na baadhi ya wanawake na wamefanikiwa kufurahia ngono.

Karibu sana na kila la kheri ktk jaribio hili.

Samahani kwa kuchangaya lugha 2 kwa mpigo.

Wako mdau wa malavidavi....

MSAADA WA MAPENZI

I’ve been seeing a quy for 2 1/2 years now. We’ve both said “I love you” and your are my “soulmate”. The problem is, he has also been in and out of a relationship with another woman for 27 years. He has cheated on her many times. I know what you will tell me. Get rid of him. We fight all the time over the “other woman”. He says he doesn’t want to hurt her. He says he will tell her when he’s sure our relationship will work. He wants to get back to all the good times. I’ve tried to tell him thay I can’t get back there unless I get a complete commitment from him. I can’t get the other woman out of my mind. It’s always there. Am I crazy?

Answer: (Realize I am a man) You are most likely allowing your emotions to do your thinking, understandably so, but you need to use your brain. You fight because of your insecurity in the relationship. You are insecure, because you do not have a commitment. True love commits, it does not leave the fire escape open. You will have conflicts in any relationship, that is because each partner is imperfect. It is through love and maturity that you get beyond those issues. So he says that he does not want to hurt her? Excuses, excuses, so he would rather hurt you instead? And he says he wants to make sure it will work with you? How can it work with you when he is two timing you? Do not sacrifice your self respect for someone who does not respect you. Do not allow yourself to be played, and do not give any man the honey until you have been married. Many guys will take the honey if you give it, and then like a bear, only come around again for more honey.

Monday, July 13, 2009

UKWELI KUHUSU PESA NA MAHUSIANO


MTAZAMO: Mtu na mpenzi wake hawapaswi kuzungumzia masuala ya pesa kwa sababu mara nyingi husababisha malumbano au ugomvi.


UKWELI: Mtu yeyote hawezi kuwa na uhusiano mzuri wa kimapenzi kama hawawezi kukaa pamoja kuongelea na kukubaliana masuala ya kifedha.



ANGALIZO: Wanaume na wanawake wako tofauti sana kwa jinsi wanavyochukulia suala la fedha kwenye mahusiano.


Karibuni kwa mchango wenu wa mawazo... Shukrani sana

8 Tips to Get Him to Notice You in 10 Days


1. Stop playing hard to get.A guy likes a girl who has got it going on, but if you want to find love in 10 days and you're not around, it isn't going to happen. Being unavailable seems rigid and high-maintenance. If he throws out a time that doesn't work for you, either say yes to the next option or propose a date of your own. If you won't make time early on in the relationship, single men take it to mean you definitely won't make time later.

2. Be attentive: This is not the time to text. Conversation is like kissing. It's a two-way street, and those roads are meant to be shared. Be sure to ask questions, answer questions thoughtfully, and engage in conversation. Make eye contact, and please, please, please put your cell phone away.

3. Try something new. It's usually the man's responsibility to make the date fun, and that puts a lot of pressure on us. So even if you don't like the activity we've picked out, go along for the ride with an open mind and positive attitude.

4. Let your guard down. Past relationships and bad blind dates may have made you jaded, but don't assume this guy "is just like all the rest." And not that you would, but under no circumstances should you bring up your guy woes around the new object of your affection.

5. Stop texting and no one will get hurt. Don't be that girl who communicates only via abbreviated words and emoticons -- and don't let him be that guy. When you're starting to date someone, texting, emailing, or instant messaging should be used in emergencies only (like when you lose him at an insanely crowded, loud concert).

6. Know the power of your outfit. We all buy into the latest fashion trends, but your goal with your date is to lure him in. Men want to see you in something that shows off your figure but isn't sleazy, which sends a message of desperation. Another sign of desperation is looking like you tried too hard. Guys aren't lying when they say they want a girl who can roll out of bed and still look gorgeous.

7. TMI is never a good thing. Sharing too much too soon can be easily misconstrued. Anecdotes and good conversation are always a plus, but when talking about yourself, leave out unnecessary details. On the list of forbidden topics: exes, family plans, and anything else that could send him heading for the hills.

8. Keep him wanting more. No matter how well a first date is going, be sure it doesn't run into the wee hours of the morning.

Friday, July 10, 2009

RELATIONSHIP TEST 1

This test helps you to test how much your love relationship is faithful with your loved one.

1. Your partner likes talking with you. No/Yes
2. He/she cancels plans when partners buds to be with you. No/Yes
3. Your partner was nervous When he met your family. No/Yes
4. Your partner gives you gift on some important days like birthdays and Valentine's Day. No/Yes
5. Both of You have a shared vocabulary. No/Yes
6. Your partner call you with your nick name. No/Yes
7. Is it true that your partner taking care in public places? No/Yes
8. Is it your partner taking care of your health? No/Yes
9. Chronically late is your partners life style? No/Yes
10. Is it your partner remember doctor's appointment at time when you are seek? No/Yes

MKE KUMZIDI MUME KIPATO NI TATIZO?


Ikiwa kama ijumaa ningependa kuanza kwa kuuliza swali hili; Ikiwa mkeo ana kazi nzuri zaidi yako na kipato chake ni kikubwa zaidi yako, je hili lina uhusiano wowote na matatizo kwenye ndoa?

Nina ndugu ambaye kwa mtizamo wake anasema ikiwa mke kakuzidi kipato sikuzote atataka kumyanyasa mume wake.. Bahati mbaya au nzuri pia kapata mchumba mwenye kipato juu yake. Sasa yuko njia panda hajui afanye nini na kumpenda ana mpenda...

Wadau ushauri unahitajika..

Wednesday, July 8, 2009

MDAU ALONGA NA BLOG. Umbo lako wakati wa tendo la ngono

Natambua kila mwanamke “anamkao” wake anaupenda wakati wa kufanya ngono/mapenzi, na baadhi yetu huwa tunapenda “mikao” hiyo kwa vile ni rahisi kuifanya na inatufikisha haraka kileleni. Lakini kumbuka kuwa kufika kileleni kunategemea zaidi akili na mawazo wako(yalipo wakati huo).

Sasa wengi hunakimbilia “mikao” mirahisi kwa sababu akili yako inakuwa imetulia kwamba hunawasiwasi kama umepatia “makao” huo, kwa mfano; wanawake ambao wanamatiti madogo na wanajua fika kuwa wapenzi wao wanapenda makubwa hupata taabu ikiwa watajiweka ktk “mkao” wa kifo cha mende(mwanaume juu).

Wale wenye matumbo makubwa huofia kumuondolea hamu mpenzi ikiwa yeye mwanamke atakuwa juu (kifo cha mende), hali kadhalika kwa wale wenye matako bapa huofia kubong’oa (mbuzi kagoma) wakihofia wapenzi wao kutofurahia mandhari n.k.

Ila ukweli ni kuwa mpenzi wako akikupenda anakuwa amekupenda jinsi ulivyo(hata kama alikupendea tabia ni wazi kuwa itambidi apende na vingine kwasababu ndivyo vinakufanya uwe wewe na sio yule) hivyo huna haja ya kutojiamini unapofanya nae mapenzi, swala lingine ni kuwa unapokuwa mtundu kitandani na mwepezi ktk mchezo akili yake inakuwa kwenye kufurahia na sio kukuchunguza ulivyoumbwa.

Ninachojaribu kusema ni kuwa haijalishi umeumbwa vipi au umeumbikaje, unapokuwa na mpenzi wako jaribu kufanya mikao angalau minne ktk mzunguuko mmoja, ikiwa mpenzi wako anaweza kujizuia kwa muda wa nusu saa tu na kitendo cha kubadilisha “mikao” kinamfanya amwage haraka au apoteze “ugumu” basi hakuna haja ya kubadili “mikao”, fanyeni huo mmoja mpaka wote mmemaliza.

Lakini kama wewe unae yule anaeweza kujizuia kwa dakika arobaini na tano hadi saa nzima hapo “nswalu”, fanyeni “mikao” ya kutosha ktk mzunguuko mmoja kisha mizunguuko itakayo fuata mnaweza mkafanya mkao mmoja-mmoja mpaka mzimie (mchoke).

Nia na madhumuni ni kuzoesha mwili wako na vilevile kukusaidia wewe mwanamke kukaza misuli hasa ile ya tumbo, mapaja na matako. Natambua kuwa ni ngumu kufanya ngono kwa kubadilisha mikao zaidi ya miwili ktk mzunguuko wa kwanza kwa vile mwili wako haujazoea kufanya mazoezi (sio lazima ushiriki gym) unaweza kufanya mazoezi ya kawaida tu nyumbani kwako kila siku asubuhi na jioni na utakuwa sawa ktk jambo ninalozungumzia.