
Monday, June 22, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Karibu sana katika blog yangu, utajifunza mengi kutoka humu na kuchangia mada muhimu zinazoizunguka jamii yetu kwenye masuala haya muhimu. Chukua mkeka na kigoda na kaa tayari kwa mkao wa kupata mada motomoto.... Tafadhali tumia lugha nzuri ya kiingereza au Kiswahili.
Anti mbona ma-engineer wanawake wapo pia au ulikuwa una maanisha engineer mwanamke?? I like the math though!! A++
ReplyDeleteAnonymous hapo juu, nilikuwa nikimaanisha kwamba nimetumiwa hiyo theory na rafiki yangu engineer. Ila simaanishi wahusika ni wanawake maengineer. No offence my dear.
ReplyDelete