Monday, July 13, 2009

UKWELI KUHUSU PESA NA MAHUSIANO


MTAZAMO: Mtu na mpenzi wake hawapaswi kuzungumzia masuala ya pesa kwa sababu mara nyingi husababisha malumbano au ugomvi.


UKWELI: Mtu yeyote hawezi kuwa na uhusiano mzuri wa kimapenzi kama hawawezi kukaa pamoja kuongelea na kukubaliana masuala ya kifedha.



ANGALIZO: Wanaume na wanawake wako tofauti sana kwa jinsi wanavyochukulia suala la fedha kwenye mahusiano.


Karibuni kwa mchango wenu wa mawazo... Shukrani sana

No comments:

Post a Comment