Friday, November 13, 2009

How do u find this??!!!!

A man was brought before the judge and charged with Necrophilia that is - ( making love to a dead person).
The judge told him, 'In 20 years on the bench, I've never heard such a disgusting, immoral thing. Just give me one good reason why I shouldn't lock you up and throw away the key!'The man replied, 'I'll give you THREE good reasons:
1. It's none of your damn business; 2. She was my wife; and..... 3. I didn't KNOW she was dead, she ALWAYS acted that way!
Guys, if a lady is not moving, stop immediately and check if she is alive..!!!

Thursday, October 22, 2009

SIFA ZA MUME BORA NI ZIPI?

Mwanamke hufikia kipindi fulani akapenda kutulia na kuanza maisha ya ndoa. Kipindi hiki huwa kigumu sana na kuhitaji maamuzi sahihi. Hivyo basi mada yetu inatuletea sifa za mume bora, japo ni nyingi nyingine utaongezea kwa kutoa maoni yako. Maswali muhimu ya kujiuliza ni;

1. Mwenzako anafurahia kukaa na kufarahi na wewe katika muda wenu wa ziada?
2. Je anapenda kukaa na wewe mbele za watu au ndani mkiwa wawili tu?
3. Je anapenda au kuonyesha hisia za kuvutiwa na fani yako ya kazi? (profession)
4. Je anapenda kukuletea zawadi hata kama sio sikukuu yeyote? (suprises)
5. Je anayapa mahitaji yako kipaumbele?
6. Je anakufanya uwe na furaha na kutabasamu?

Mengine ongezea msomaji maana maswali ni mengi kwelikweli..

Wednesday, September 9, 2009

Worst reasons to get married to

Everybody's doing it!" That was the first phenomenon I witnessed. We all went to high school together; we all went to college at the same time; lets all get married at the same time. I don't want to be the one left out, much as I didn't want to be the one without a date for the Senior Prom. Peer pressure; falling behind; "I'm not where I should be"; it all equals a big mistake."Age traits" was another ill-advised reason I saw. A man about 27 would be taken with a girl about 19 because she worshipped the ground he walked on. She could only see a person who was perfect because he was so much more mature than the "men close to her age." He was deeply in love until the first time a family crisis came up and she was of no value when it came to being a support system; people have a tendency to act their age under pressure.
Another problem was that of marrying someone for fear they may marry someone else if they weren't "snapped up". In that same vein, just agreeing to get married because a person is "tired of waiting", or, feeling that nobody better is going to come along anyway. Of course most people know that marrying for money is a bad idea, although, I've heard more than one of my friends say "It's just as easy to fall in love with a rich person as a poor person".Getting married because you're pregnant is bad for all concerned, including the baby. Conversely, getting married because the body clock is ticking is not a good thing. When parents get involved, whether it is pushing to marry a certain person (and they do have their favorites); or, you are expected to marry within a certain social strata, it is a problem. I know some very, very miserable people who limited their choices to people who were of a certain career choice or heritage.

CHOOSING THE RIGHT TIME TO GET MARRIED

When contemplating marriage, it is a good idea to look at more factors than just how old you both are and how long you have been together. Those two things won't get you through the rocky parts of marriage.
You need to take into account each party's hopes and dreams, beliefs, and ideas about childrearing, to name a few. There are also current things you need to consider like finances and location.
Make sure you believe in the same things to avoid fights later. In this, I don't just mean spiritual beliefs, though those are important, too. But I also mean things like who is going to do the cleaning? Who will be in charge of finances? If children are involved, who will do the majority of the childcare? These may seem like small things, but they can cause some pretty big fights if you aren't both willing to compromise and work things out.

till next time. Ciao!!!!!!!!!!

Friday, August 28, 2009

SWALI LA WKEND

Swali langu linasema hivi; kipi kizuri kati ya mume mwenye pesa na mali ambaye ana muda mwingi wa kufuatilia biashara zake kuliko kuwa karibu na familia na Mume maskini ila mwenye muda mwingi wa kukaa na familia?

Msaada wenu ni wa muhimu sana kwangu.

MUME BORA NA MZURI NI YUPI?

1. Be Her Sounding Board
When your wife tells you her problems, she isn't necessarily looking for a problem solver. She wants someone to listen to her and empathize with what's going on in her life.
A husband who hears about his wife's problems instinctively wants to come to the rescue. But most of the time, this isn't what your wife is looking for. You need to fill the role more of a psychologist than that of a troubleshooter. Listen to her problems; show concern for those problems; show that you have empathy; but don't always reply with "here's what you need to do."
When your wife comes to you with her problems, she isn't looking for you to be her lawyer. And she certainly doesn't need you to be her football coach, giving her fiery motivational speeches about how to beat her problem. She wants a counsellor, to listen to her problems and help her deal with their emotional impact.

2. Show Respect
A good exercise for every husband is to try to show your wife respect. This dovetails with my previous point, but goes beyond that specific situation.
A major part of showing respect is to avoid the trap of being hyper-critical.
3. Avoid Judgment
When you live with someone every day, it's hard not to build up resentments and overanalyze your partner's every move. But no one is going to stand up to that level of scrutiny. Try not to sweat the little stuff, because it has a way of becoming big rather quickly. If you judge every action or opinion your wife has, that's going to come through in your words and actions.
Your wife is different from you. Of course she isn't going to perceive things the way you do. She's had different life experiences than you, not the least of which is the general experience of living life as a woman. She won't always like what you like. She won't behave like a man does. Apart from sexual needs and having children, that's one of the reasons men get into a relationship. We feel the need for a woman's companionship.
4. Don't Bring Your Own Issues Into the Marriage
As I mentioned earlier, being in a marriage is being part of a team. This means you sometimes have to put your wants or needs second to those of the team.
All of us have emotional baggage. When we marry, we bring that emotional baggage into the marriage. But when your wife comes to you for support, that isn't the time to open up that emotional baggage. There are times when you can unload this stuff on your wife, but not when she needs your support.
5. Know When to Make it About You
Of course, it can't always be about her or the marriage. There are times when your needs should be met. That's the definition of a give-and-take partnership, which is what a marriage should be about.
Tell her how you feel, but don't put her in a defensive position. This means you describe to her how something she does affects you without making your feelings accusatory.
6. Be Affectionate
I know guys don't like being cuddly. Being affectionate after sex takes time and it doesn't make us feel manly, but women need affection sometimes. If you only give them that stuff to get to bed, your wife is going to notice and think it's insincere.
Of course, this goes beyond the bedroom. If you show your wife spontaneous affection occasionally, it reassures her of the love bond.
Mengine ongezea kwa kuweka comments...Cheers!!!!!!!!!

Thursday, August 20, 2009

5 Reasons Why Couples Cheat

1. Lack of Communication
Sometimes a couple lacks the communication skills necessary to voice how they feel when something is missing from their relationship. Perhaps it's the sex or the time spent together. Whatever the reason, something is missing and is making one person in the relationship unhappy. Because of this, trust and honesty are both sacrificed and before you know it, one partner is confessing they were unfaithful.Being incapable of expressing the problems you see with your relationship is problematic and is a main factor that leads to dishonesty and cheating.
2. Different Views
When a couple has differing perspectives concerning what kind of relationship they ultimately want, problems might be inevitable in the long run. The fact that one partner might be less serious and committed to the relationship at stake could be a valid indicator of cheating tendencies.In reality, if someone doesn't have the will to commit to a relationship, they shouldn't be in one. Such feelings only lead to cheating and heartbreak.
3. Lack of Effort
While a couple might have had an unbelievable romance and a relationship built on trust and honestly, it has the potential to falter. It takes time and effort to make a relationship work, and when the effort in a relationship is unbalanced and is on one partner's behalf to rekindle the romance, cheating might be an outcome.It is crucial for both partners to provide the same amount of dedication in order for the relationship to be successful. If this doesn't happen, one might cheat to find the romance they secretly desire.
4. Revenge
If a relationship is built on hostility and hurtful revenge, heartache is likely to follow. When a partner is unfaithful, it might cause the other partner to be unfaithful too. Unfortunately, a snowball effect might be created and suddenly the relationship has become two individuals trying to get back at one another for creating such complications. Of course this doesn't accomplish anything and is a waste of time for both involved.
5. State of Mind
Sometimes alcohol is involved in the cheating process and a partner might do something they would likely not do if they were in the right state of mind. However, this is not an excuse. If this situation could be used as an excuse, one can only imagine the lack of trust and commitment in relationships.However intoxicated an individual might be, they should still think before they act and in this case, they should still care about the one they are with. If they can't do this then they should avoid drinking and making such regrettable decisions.

Style gani inafaa wakati wa kufanya mapenzi na yenye mvuto zaidi?

1. Missionary position. Making love while lying on your back with a man on top?

2. Woman on top?

3. Doggy style? Penetrating from behind.

4. Standing, while u hold each other?

Wednesday, August 5, 2009

Love Questions


There was this guy who loved two gals at the same time but he didn't know which one he loved more. Someone taught him.


Ask yourself this question and answer it honestly :
"When you are happy, which gal would you want to share your happiness with?" The one you think of is someone you love.
Ask yourself another question and answer it honestly :
"When you are sad, which gal you want to share your burden with?" The one you think of is also someone you love.
If you think of the same gal when you are happy & sad, that's the most perfect. But if you don't think of the same gal, I would advise you to chose the one you are willing to share your sadness with.
In life, there are more sorrows than happiness. There are too many people that u meet that u can share your happiness with, not necessary your lover.
If you live your life happily, you can also enjoy it alone.
In sadness, however, there are not many people willing to share your burden with you. If you are willing to tell someone your happiness, I am sure that person has got to be someone close & an understanding person to you.
But it shouldn't stop there. If that person only thinks of you when she is happy, but looks for someone else when she is sad, this lover is too unstable, she doesn't treat you as someone she can spend the rest of her life with.
Of course, I will be very happy if I am the first person to share her happiness. But, if she is sad, I will be too willing to stay by her side & ease her pain. Only then, will I believe that I hold a very important position in her heart.
If you are sad, who comes to your mind first?

SWALI KWA WADAU

Ikitokea uko na mpenzi wako mmekaa sehemu mkifurahia maisha, na akatokea mtu pembeni yenu akawa anamkonyeza tena kwa makusudi, utafanya nini kama wewe ndio mhusika? Hii ni kwa pande zote mbili?
nawasilisha mezani mnisaidie kutatua ..

Monday, August 3, 2009

MAMBO YA DIET

Kwa akina sie, tunaotaka kupunguza miili si vibaya kutumia diet hii... rafiki yangu wa karibu amefanikiwa kupunguza kilo 5 ndani ya siku saba..
Na yeye anasema penye nia pana njia...
Link ndio hii hapo nimewawekea.

Here is the link to the diet! You can just click on the different tabs to see the explanations
http://www.cabbage-soup-diet.com/eating-plan.html

OR

http://www.cabbage-soup-diet.com/recipe.html

Wednesday, July 29, 2009

FACIAL CARE - ZAMU YA WANAUME

Men usually don’t care about their skin. It’s a simple fact. They tend to think they are made from an indestructible material, and that their skin is made of iron. And so, they go on in life, shaving everyday, standing in extreme weather on our vacations, and eating junk food. But hey, our skin is actually deteriorating each passing day, and it’s not a matter of attitude, “machismo”, or whatever you’d like to call it. It’s a matter of health. And in today’s world men facial care is even a matter of social life. You may not know this, but you men, have very sensitive skin. But what is most disturbing is that most men also ignore this, or they do not take proper action.
So what is proper action?
There are certain habits to take in consideration when you start caring about your facial skin care. Here are some tips that will help you get started in men facial care:
* Drink water, a lot. Water is good for overall health; it is a common advice to drink at least 8 glasses of water a day.
* Buy vitamin supplements. To have a healthy skin you should include in your diet multi-vitamins. Particularly helpful to your skin is the Vitamin E.
* Exfoliate your face twice a week. Exfoliation helps removing the dead cells on your facial skin, the result will be a skin free of impurities.
* Protect yourself from the sun. Keep in mind doing it in a healthy way, for example if you’re staying too much time outdoors with a hot weather. Don’t use too much, because sun blockers contain chemicals. Nowadays even some moisturizers have sun protection. Remember this is all men facial care basic stuff. People have different skin types that have their own issues. You should visit your doctor if you notice anything strange in your skin. However this tips will help you in having a healthier, better looking skin. Bottom line is, start taking care. The web has plenty of information regarding these issues and is a good place to start.

LOVEMAKING TIPS


The top 5 female erogenous zones


The neck
Apart from being sexy and attractive, the female neck is perhaps one of the most sensitive areas of her body. Softly kissing this area from her shoulder to below her ear (while at the same time massaging it with your tongue will send tingles and pulses up and down her spine. Keep at it and she will be breathing heavily in a very short period of time.


The ear lobes
Sucking ear lobes isn't for everyone. Some girls get the tickles when you do it but others simply adore it. While you're there you can whisper sweet nothings in her ear. Close facial contact is what she likes so this is a good way to do it if you're fed up with kissing on the lips. Also massaging her ear lobes with your fingers from time to time can be very soothing.


The nipples
On a par with the neck for sensitivity, the female nipples become hard and sit up right when stimulated with your tongue. Don't forget to give both breasts even attention and also kiss down in between her breasts as you work your way between both of them. If she hasn't grabbed your head by this stage and held it into her bosom, something's badly wrong.


The belly button
Working your way down her body, the belly button is another area you should stimulate before full intercourse. Kissing this area with your lips and tongue will cause vibrations that will vibrate through her reproductive area and begin to stimulate her G spot.


The G Spot
Ah the G spot. This holy grail legend of the female anatomy can be tricky to find. So if the chance arises, ask her if she has already found her G spot and let her point you in the right direction.
As a general guide, most female G spots can be found on the roof of the vagina (that's the side closest to her stomach.). It's about the size and shape of a 2 pence coin and can be found about 4 inches in.
Extreme caution should be taken when stimulating this area with your tongue or fingers as a female can quite literally lose control of her limbs. Don't be surprised if you get kneed in the face or get elbowed as she moans in ecstasy. It should also be noted that not all females have a G spot, so don't be alarmed if you both can't find it. As you have seen there are plenty of other areas of the female body that can be stimulated in the art of love making in order to help her climax.


Doing a combination of all these things will leave her begging for more and you will be a better lover for it. Experimentation is the key to find out what works and what doesn't as everyone is not the same.
As you can see, a true female orgasm involves the stimulation of her whole body and not just simple penetration. Taking the time to show care and attention to her needs will put you so far above any other lovers, she may have had that you may find it tricky escaping from the bed. I know I have ;-)


I hope this article helps your love life get back on track and that you become better and more confident at making love and not just having sex. Above all else, if you want to become a better lover, ask your partner what they like and what they want you to do to them. Not only will you help them get their rocks off quicker, you'll also show that you are thinking about their needs and they in turn will think about yours. This will create a much better experience than if both parties are concentrating on what each can get out of the experience in a very selfish way.
Until next time.

SPECIAL DEDICATION-LOVE LETTER

I just want one more day with you by Cyndi
I'm so sad and depressed, Is all I want to do is rest. I go to sleep at night But my dreams I just can't fight. I think of you lying in that bed and wonder if there is anything I could have said. I wish you were still here But I know that you are still near. I love you more than you know, I just wish you didn't have to go. I just want one more day with youAnd I know thats what you would have wanted tooI miss you more and more each day, there is so much more we had to say. I know I will see you again but my life is just started to begin.
Every moment spent with you is like a beautiful dream come true...
My favorite place to be is inside of your hugs where it's warm and loving. I Love You! Kiss me and you shall see stars, love me and I'll give them to you.
I love you with everything I am, and more than anyone ever thought possible...
You may not be here with me... But thoughts of you are always in my heart... I Miss You!
From Cydi to Chriss.....

Friday, July 24, 2009

USAFI WA MAENEO MUHIMU- MDAU AENDELEZA MADA YAKE

Jinsi ya kusafisha Uke wako!
Awali nilikuwa nikidhani kuwa kila mwanamke anapaswa na anafahamu jinsi ya kujisafisha ndani ya uke mara tu baada ya kuondolewa bikira (kuanza mahusiano ya kimapenzi na hatimae ngono), lakini nimekuja kugundua ukweli kwamba wanawake wengi hawajui uke unasafishwa vipi?

Baadhi huofia kuwashwa na sabuni na wengine hudhani utokwaji wa utoko ni kawaida hivyo hawana budi kuacha kama ilivyo na badala yake hutumia “pads” ndogo au “wipes” zenye manukato ili kuzuia harufu/shombo ya uke na vilevile kuzuia uchafukwaji wa “vyupi” vyao.

Huitaji kuficha(Bali punguza) harufu ya asilia ya uke kwa kutumia bidhaa zenye mahukato hasa ukiwa na mpenzi wako kwani hiyo harufu ndio uanamke wenyewe na ikikutana na ile ya kiume ndio raha ya kufanya mapenzi na ikiwa mpenzi wako ni “aliyejaaliwa” atakuwa akiipenda harufu hiyo na hubaki akilini mwake hali inayoweza kumfanya akupende zaidi au kutoweza kufanya ngono na mtu mwingine bali wewe.

Hujawahi kusikia wanaume wanashindwa kutoka (date) wanawake wengine baada ya wapenzi wao kufariki dunia? Au mwanaume kushindwa kuendelea na maisha yake ya kimapenzi bila wewe na matokeo yake hata mkiachana lazima atarudi tu kwako….sababu moja wapo ni hiyo.

Kujiswafi ili kupunguza ukali wa shombo/harufu ya uanamke:Utoko hujikusanya ikiwa mwili umetulia (usiku) hivyo hakikisha unajisafisha kila asubuhi kabla hujaanza kuoga.Kwa wale tunaoishi Bongo wengi tunatumia maji ambayo usalama wake ni wa utata, sasa ili kuepuka maambukizo hakikisha maji ya kujisafishia sehemu zako za siri yamechemshwa vizuri. Unaweza kutenganisha maji ya kuoga na ya kusafishia uke ukitaka.

*Kabla hujaguza uke wako hakikisha umesafisha mikono yako vizuri kwa sabuni (ukiweza tumia sabuni yenye dawa) na wakati huo huo pitisha sabuni juu ya uke wako ili kuondoa vijidudu kama vilikuwepo, safisha mahali hapo(juu ya uke kwa maji na hakikisha hakuna sabuni).

*Kisha kwa kutumia kidole chako cha kati, ingiza taratibu pale ambapo uume unaingia, kwa kuanzia huitaji kwenda mbali sana. Zunguusa kidole hicho taratibu huku ukijimwagia maji kwa kutumia mkono wa pili, kisha kitoe (kitatoka na weupe mzito) safisha kidole na maji yako.

*Rudia tena na sasa kiingize ndani zaidi na ukizunguushe tena (huku ukijimwagia maji) na kukitoa utaona “utoko” mwingi zaidi kidoleni, rudia hatua hizo mpaka uhakikishe kidole kinatoka bila weupe(utoko) na utahisi hali ya usafi, hakuna utelezi.

Unapojimwagia maji ukeni huku kidole kiko ndani maji huingia pia ukeni na ndio maana mwishoni kabisa utahisi umesafishika vema kabisa na utoko huo hautotoka tena siku nzima na uke wako hautokuwa na shombo kali kama ambavyo siku zote ambazo ulikuwa hujisafishi.

Kwa wale wanaotumia “bath” au “shower” unafanya kama nilivyoeleza ila tofauti ni kuwa maji yataingia vizuri zaidi ikiwa unapata “bath” hivyo hakikisha “bath” sio ya kuchangia, maji ni salama(safi), usiweke sabuni (bath cream) au bidhaa yoyote yenye kemikali kwenye “bath” yako ili kuepuka matatizo ya kiafya na maambukizo mengine.

Wednesday, July 22, 2009

WANAUME MNA VIJIMAMBO

WATAFITI WA MAPENZI MPO??

Mimi nauliza je haya nayo ni mapenzi ya dhati au mateso ya mapenzi?

Tuesday, July 21, 2009

NUKUU YA LEO

MEN are all the same - no matter what species !!!

Friday, July 17, 2009

Jinsi ya kuita Utamu a.k.a Kilele a.k.a O a.k.a.....

Kama ambavyo wengi tunatambua kuwa sehemu kubwa (asilimia 99.5) ya kufurahia ngono ni Mapenzi ya kweli juu ya mpenzi wako ikisaidiwa na utundu wako wewe mwenyewe manamke na sio mwanaume japokuwa baadhi ya wanawake hutegemea wanaume wawafanyie kila kitu mpaka kuwafikishe.

Wakati mwingine wanaume huchoka kwa vile kwa kawaida wanawake tunachukua muda mrefu zaidi kufikia mshindo ukilinganisha na wanaume, kwamba mwanamke anafika ndani ya dakika 10-15 wakati mwanaume anafika ndani ya dakika 1-5 unless awe anajua kujizuia nahapo ndio atakwenda mpaka dakika 45 na baadhi huondoka zaidi ya hapo kutokana na kutosisimuliwa vilivyo (yaani akikupanda hamalizi mpaka uke unakauka na wewe hamu inakuishia) hahahahaha!

Well, back to topic......

Mbinu ya kuita kilele sio ngumu kama wengi mlivyokuwa mkifikiria/dhania bali ni ya kawaida sana na utashangaa ni jinsi gani inafanya kazi, na ikiwa umebahatika kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kujizuia basi unaweza kupiga 3 ktk mzunguuko wa kwanza.

Unapokuwa ukifanya mapenzi hakikisha akili yako yote iko kwenye kufanya mapenzi, sio lazima umfikirie mpenzi wako bali unaweza kufikiria chochote kitakacho kufanya "unyegetuke" zaidi wakati "mzigo" uko ndani ya uke sio.

Mfano unaweza kumuuliza mpenzi wako akuambie anafanya nini in rude way, au kama anakujua vizuri basi anaweza akaanza kusifia Uke wako ulivyo, anavopenda kukufanya n.k (wengine nasikia huomba kutukaniwa wazazi wao.....hey it works 4 them so jaribu na wewe)

Jinsi jamaa anavyokufanya wewe pia msaidie.......well jisaidie na hakikisha unahangaika kupata "kipele" (mahali unaposikia raha zaidi pakiguswa), ukisha hisi mwambie atulie hapo hapo na wewe anza kufanya "makaratee" zunguusha kiuno chako ktk pembe zote (badilisha mirindimo) na wakati unafanya hivyo hakikisha unabana pumzi na kuiachia papo kwa hapo (hakikisha huiachii kwa muda mrefu yani in sec unabana na kuiachia).

Psssssssssssi: Sometimes u have 2 be a little selfish ei? Wanaume wakibana pumzi wanachelewa kufika lakini mwanamke ukibana pumzi unawahi kufika.....hii ni kutokana na uzoefu na nime-share na baadhi ya wanawake na wamefanikiwa kufurahia ngono.

Karibu sana na kila la kheri ktk jaribio hili.

Samahani kwa kuchangaya lugha 2 kwa mpigo.

Wako mdau wa malavidavi....

MSAADA WA MAPENZI

I’ve been seeing a quy for 2 1/2 years now. We’ve both said “I love you” and your are my “soulmate”. The problem is, he has also been in and out of a relationship with another woman for 27 years. He has cheated on her many times. I know what you will tell me. Get rid of him. We fight all the time over the “other woman”. He says he doesn’t want to hurt her. He says he will tell her when he’s sure our relationship will work. He wants to get back to all the good times. I’ve tried to tell him thay I can’t get back there unless I get a complete commitment from him. I can’t get the other woman out of my mind. It’s always there. Am I crazy?

Answer: (Realize I am a man) You are most likely allowing your emotions to do your thinking, understandably so, but you need to use your brain. You fight because of your insecurity in the relationship. You are insecure, because you do not have a commitment. True love commits, it does not leave the fire escape open. You will have conflicts in any relationship, that is because each partner is imperfect. It is through love and maturity that you get beyond those issues. So he says that he does not want to hurt her? Excuses, excuses, so he would rather hurt you instead? And he says he wants to make sure it will work with you? How can it work with you when he is two timing you? Do not sacrifice your self respect for someone who does not respect you. Do not allow yourself to be played, and do not give any man the honey until you have been married. Many guys will take the honey if you give it, and then like a bear, only come around again for more honey.

Monday, July 13, 2009

UKWELI KUHUSU PESA NA MAHUSIANO


MTAZAMO: Mtu na mpenzi wake hawapaswi kuzungumzia masuala ya pesa kwa sababu mara nyingi husababisha malumbano au ugomvi.


UKWELI: Mtu yeyote hawezi kuwa na uhusiano mzuri wa kimapenzi kama hawawezi kukaa pamoja kuongelea na kukubaliana masuala ya kifedha.



ANGALIZO: Wanaume na wanawake wako tofauti sana kwa jinsi wanavyochukulia suala la fedha kwenye mahusiano.


Karibuni kwa mchango wenu wa mawazo... Shukrani sana

8 Tips to Get Him to Notice You in 10 Days


1. Stop playing hard to get.A guy likes a girl who has got it going on, but if you want to find love in 10 days and you're not around, it isn't going to happen. Being unavailable seems rigid and high-maintenance. If he throws out a time that doesn't work for you, either say yes to the next option or propose a date of your own. If you won't make time early on in the relationship, single men take it to mean you definitely won't make time later.

2. Be attentive: This is not the time to text. Conversation is like kissing. It's a two-way street, and those roads are meant to be shared. Be sure to ask questions, answer questions thoughtfully, and engage in conversation. Make eye contact, and please, please, please put your cell phone away.

3. Try something new. It's usually the man's responsibility to make the date fun, and that puts a lot of pressure on us. So even if you don't like the activity we've picked out, go along for the ride with an open mind and positive attitude.

4. Let your guard down. Past relationships and bad blind dates may have made you jaded, but don't assume this guy "is just like all the rest." And not that you would, but under no circumstances should you bring up your guy woes around the new object of your affection.

5. Stop texting and no one will get hurt. Don't be that girl who communicates only via abbreviated words and emoticons -- and don't let him be that guy. When you're starting to date someone, texting, emailing, or instant messaging should be used in emergencies only (like when you lose him at an insanely crowded, loud concert).

6. Know the power of your outfit. We all buy into the latest fashion trends, but your goal with your date is to lure him in. Men want to see you in something that shows off your figure but isn't sleazy, which sends a message of desperation. Another sign of desperation is looking like you tried too hard. Guys aren't lying when they say they want a girl who can roll out of bed and still look gorgeous.

7. TMI is never a good thing. Sharing too much too soon can be easily misconstrued. Anecdotes and good conversation are always a plus, but when talking about yourself, leave out unnecessary details. On the list of forbidden topics: exes, family plans, and anything else that could send him heading for the hills.

8. Keep him wanting more. No matter how well a first date is going, be sure it doesn't run into the wee hours of the morning.

Friday, July 10, 2009

RELATIONSHIP TEST 1

This test helps you to test how much your love relationship is faithful with your loved one.

1. Your partner likes talking with you. No/Yes
2. He/she cancels plans when partners buds to be with you. No/Yes
3. Your partner was nervous When he met your family. No/Yes
4. Your partner gives you gift on some important days like birthdays and Valentine's Day. No/Yes
5. Both of You have a shared vocabulary. No/Yes
6. Your partner call you with your nick name. No/Yes
7. Is it true that your partner taking care in public places? No/Yes
8. Is it your partner taking care of your health? No/Yes
9. Chronically late is your partners life style? No/Yes
10. Is it your partner remember doctor's appointment at time when you are seek? No/Yes

MKE KUMZIDI MUME KIPATO NI TATIZO?


Ikiwa kama ijumaa ningependa kuanza kwa kuuliza swali hili; Ikiwa mkeo ana kazi nzuri zaidi yako na kipato chake ni kikubwa zaidi yako, je hili lina uhusiano wowote na matatizo kwenye ndoa?

Nina ndugu ambaye kwa mtizamo wake anasema ikiwa mke kakuzidi kipato sikuzote atataka kumyanyasa mume wake.. Bahati mbaya au nzuri pia kapata mchumba mwenye kipato juu yake. Sasa yuko njia panda hajui afanye nini na kumpenda ana mpenda...

Wadau ushauri unahitajika..

Wednesday, July 8, 2009

MDAU ALONGA NA BLOG. Umbo lako wakati wa tendo la ngono

Natambua kila mwanamke “anamkao” wake anaupenda wakati wa kufanya ngono/mapenzi, na baadhi yetu huwa tunapenda “mikao” hiyo kwa vile ni rahisi kuifanya na inatufikisha haraka kileleni. Lakini kumbuka kuwa kufika kileleni kunategemea zaidi akili na mawazo wako(yalipo wakati huo).

Sasa wengi hunakimbilia “mikao” mirahisi kwa sababu akili yako inakuwa imetulia kwamba hunawasiwasi kama umepatia “makao” huo, kwa mfano; wanawake ambao wanamatiti madogo na wanajua fika kuwa wapenzi wao wanapenda makubwa hupata taabu ikiwa watajiweka ktk “mkao” wa kifo cha mende(mwanaume juu).

Wale wenye matumbo makubwa huofia kumuondolea hamu mpenzi ikiwa yeye mwanamke atakuwa juu (kifo cha mende), hali kadhalika kwa wale wenye matako bapa huofia kubong’oa (mbuzi kagoma) wakihofia wapenzi wao kutofurahia mandhari n.k.

Ila ukweli ni kuwa mpenzi wako akikupenda anakuwa amekupenda jinsi ulivyo(hata kama alikupendea tabia ni wazi kuwa itambidi apende na vingine kwasababu ndivyo vinakufanya uwe wewe na sio yule) hivyo huna haja ya kutojiamini unapofanya nae mapenzi, swala lingine ni kuwa unapokuwa mtundu kitandani na mwepezi ktk mchezo akili yake inakuwa kwenye kufurahia na sio kukuchunguza ulivyoumbwa.

Ninachojaribu kusema ni kuwa haijalishi umeumbwa vipi au umeumbikaje, unapokuwa na mpenzi wako jaribu kufanya mikao angalau minne ktk mzunguuko mmoja, ikiwa mpenzi wako anaweza kujizuia kwa muda wa nusu saa tu na kitendo cha kubadilisha “mikao” kinamfanya amwage haraka au apoteze “ugumu” basi hakuna haja ya kubadili “mikao”, fanyeni huo mmoja mpaka wote mmemaliza.

Lakini kama wewe unae yule anaeweza kujizuia kwa dakika arobaini na tano hadi saa nzima hapo “nswalu”, fanyeni “mikao” ya kutosha ktk mzunguuko mmoja kisha mizunguuko itakayo fuata mnaweza mkafanya mkao mmoja-mmoja mpaka mzimie (mchoke).

Nia na madhumuni ni kuzoesha mwili wako na vilevile kukusaidia wewe mwanamke kukaza misuli hasa ile ya tumbo, mapaja na matako. Natambua kuwa ni ngumu kufanya ngono kwa kubadilisha mikao zaidi ya miwili ktk mzunguuko wa kwanza kwa vile mwili wako haujazoea kufanya mazoezi (sio lazima ushiriki gym) unaweza kufanya mazoezi ya kawaida tu nyumbani kwako kila siku asubuhi na jioni na utakuwa sawa ktk jambo ninalozungumzia.

WANAUME WANAHITAJI NINI KATIKA MAPENZI

Question: What are the biggest mistakes women make in understanding what men need to feel loved?
Answer: I think the thing women don't understand about men is that no matter how unemotional-seeming a man is, he actually is very emotional. Men are trained not to act emotional, and they're not even trained how to express themselves emotionally. But even the most unexpressive man actually has a lot of feelings and he needs support and tenderness. And, in fact, even though women don't want this to be true, it is the case that men who are married take a lot of pleasure and get a lot of self-esteem from whether they're wanted sexually by their wives, and also, from whether they are able to give their wives and receive a lot of really good sexual pleasure.

Question: At what point in a relationship should my partner and I consider relationship counseling?

Answer: You'll know you need relationship counseling if you find yourself thinking about the other person and assuming that they're purposely trying to bug you and thinking angry things about them in your head and having a relentless negative monologue about what a jerk they are. And if you're doing that, you absolutely need to go to couples counseling and you need to do it as soon as you can.

Friday, July 3, 2009

HOW TO MAKE A MAN AND WOMAN HAPPY

How Men can Make a Woman Happy
It's not difficult to make a woman happy. A man only needs to be:
1. a friend2. a companion3. a lover4. a brother5.. a father 6. a master7. a chef
8. an electrician9. a carpenter10. a plumber 11. a mechanic12. a decorator
13.. a stylist 14. a sexologist15. a gynecologist 16. a psychologist 17. a pest exterminator 18. a psychiatrist 19. a healer 20. a good listener 21. an organizer 22. a good father 23.. very clean 24. sympathetic 25. athletic 26.. warm
27. attentive 28. gallant 29. intelligent 30. funny 31. creative32. tender
33. strong 34. understanding 35. tolerant 36. prudent 37.. ambitious
38. capable 39. courageous 40. Determined! 41. true 42. dependable
43.. passionate 44. compassionateWITHOUT FORGETTING TO: 45. give her compliments regularly 46. love shopping 47. be honest 48. be very rich
49. not stress her out 50. not look at other girlsAND AT THE SAME TIME, YOU MUST ALSO: 51. give her lots of attention, but expect little yourself 52. give her lots of time, especially time for herself 53. give her lots of space, never worrying about where she goes IT IS VERY IMPORTANT: 54. Never to forget:* birthdays* anniversaries * arrangements she makes
HOW TO MAKE A MAN HAPPY
1. Show up naked
2. Bring Alcohol
have a nice wkend wapendwa... Ila mbona hamtoi maoni???

Thursday, July 2, 2009

MDAU ALONGA NA BLOG YA MALAVIDAVI

Mambo kadhaa yakumfanyia mwenza wako kumsaidia kuvishinda vishawishi! Kila mwanaume anapaswa kujua nini kinachomfanya mwanamke/msichana apagawe kunako sita kwa sita, hali kadhalika mwanamke anapaswa kufahamu mambo kadha wa kadhaa ambayo akimfanyia mwenza wake atamfanya avishinde vishawishi vya kumsaliti. Hii inamaanisha nini?
Inamaanisha kuwa, kila mwanaume na mwanamke anapaswa kufahamu jinsi gani wanaume walivyo tofauti na wanawake.
Mwanamke anapaswa kufahamu kwamba wanaume huamsha hisia za mapenzi kutokana na kile wanachokiona. Hivyo pindi anapoona msichana mwenye shepu akiwa amevaa nguo inayoiweka shepu yake bayana, ghafla hisia kali za mapenzi humjia, hata kama anajua baadhi ya utu ama tabia zake mbaya.
Kuona tu jinsi binti alivyoumbika, hiyo ni tosha kwake kumfanya ahitaji kuwa naye faragha na hapo ndipo atakapoanza kupigana na mhemuko wa mwili wake kujizuia kuingia katika kishawishi cha kufanya ngono na mrembo aliyemuona.
Kwa upande mwingine, wanaume wanapaswa kufahamu kwamba wanawake wapo tofauti. Hisia za mapenzi za mwanamke huamka pindi mwanaume anapomtimizia mahitaji yake ya moyo wake. Huhisi kupagawa pindi anapokutana na mtu ambaye anaweka kipaumbele mawasiliano baina yao na kujali hisia ama mawazo yake.
Kwa mwanamke muelewa mara nyingi muonekano wenye mvuto pekee kwake haumuingizi kwenye vishawishi kwa kiasi kikubwa kama ilivyo kwa wanaume. Kitu pekee kwake kinachoamsha hisia zake za mapenzi kwa haraka zaidi ni kuwa na mwanaume anayeongea naye, kumsikiliza, kuthamini mawazo yake, na kufikiria mahitaji yake muhimu. Pindi mwanaume wa aina hii anapomwambia “ Nakupenda..muache mumeo tutumia usiku wa leo pamoja,” huhitaji kutumia busara na hekima kuweza kuvishinda vishawishi vya kutoa penzi kwa mwanaume wa aina hiyo!
Aidha, watu wengi walio katika mahusiano hujikuta wakikumbwa na matatizo kadha wa kadha wawapo faragha kwa sababu tu mwanaume na mwanamke hawajui tofauti iliyopo baina ya mwanaume na mwanamke. Mfano, mwanamke anaweza kupanda kitandani akiwa amevaa pajama ambalo halioneshi shepu yake huku mwanaume akitamani kumuona mpenzi wake akiwa amevalia nguo ya usiku inayomtia hamasa ya mapenzi ama kumuona akiwa hajavaa chochote! Anahitaji kumuona mpenzi wake vema hivyo kumuona akiwa katika vazi lisilompa nafasi hiyo kunamkwaza.
Hapa kosa kubwa lipo miongoni mwa wanawake wengi ni kuwa “ Ameshaniona mwili wangu zaidi ya mara 1000.” Hivyo kwao kumpa nafasi mwenza wake kuuona mwili wake hakuna umuhimu.
Kimsingi wanawake wa namna hii ndio mara nyingi hujikuta waume zao pindi wanaporejea nyumbani huishia sebuleni na kusoma gazeti. Anajihisi kuchoka, hahitaji mkewe ama mtoto amsumbue na akikalibishwa mezani kwaajili ya chakula huongea maneno yasiyozidi kumi.
Hufanya haya yote si kwa sababu anamchukia mkewe la hasha bali hugeuka kuwa mbinafsi anayetaka kutumia muda wake kujipumzisha na kufikiria mahitaji yake na si ya mwenza wake.
Hatua hiyo ikijitokeza baina ya wapendanao mambo huharibika, hamasa ya mapenzi kwa mmoja wao hutoweka kwani inapofika wakati wa kwenda kujipumzisha kitandani. Mwanaume anapomuona mwenza wake akitoka bafuni akiwa na kanga moja iliyomshika vema maungo yake, mapigo ya moyo na damu humuenda mbio akitamani kumkumbatia bibie ili apate kitu roho inapenda!
Wakati mwanaume akiwaza hayo, mambo huwa tofauti kwa mwanamke kwani hutawaliwa na maswali kadhaa kama “ Hivi ni kweli ananipenda? Namashaka. Haongei nami wala kunisaidia kwa lolote. Anachotaka ni kunitumia kama chombo cha starehe tu huyu.”
Hivyo basi, mwanamke atamuachia mwenza wake mwili autumie atakavyo kutimiza haja zake, lakini hatafika kilele kamwe kwani hatahisi anapendwa bali anatumiwa kama chombo cha starehe.
Hata hivyo, pindi mwanaume atakapokuwa akijipa raha toka kwa mwenza wake huyo, atatawaliwa na woga kwa sababu ataona wazi kuwa bibie hafurahii tendo la ndoa. Hivyo atajiuliza maswali mengi “ Kwa nini nimeshindwa kumpagawisha mamaa? Je, nyeti yangu ni ndogo?”
Hapa ndipo mwanamke anapotakiwa kumueleza bayana kuwa, “ Uume wako upo sawa ila mawasiliano yako kwangfu ni finyu.”
Kimsingi mwanaume anaporudi toka kazini anapaswa kuzungumza na mwenza wake, kujenga urafiki naye, kumuoneshe kuwa anamjali na kuthamini utu wake na usimfanye ajione kama mtu baki.
Aidha, mwanaume anapaswa kumueleza mwenza wake kuwa, “ Unapokuwa kwenye jumuia, vaa nguo ambazo hazitaamsha hisia za mapenzi kwa watu baki, lakini unapokuwa nyumbani hakikisha unavaa nguo hizo kwaajili yangu tu.”
Kufanya hivyo kutamueleza mumeo kuwa, “unampenda yeye tu na wanaume wengine hawana nafasi katika moyo wako!
Mwisho nimalize kwa kusema kuwa, wanawake huamsha hisia za mapenzi kwa wanaume ambao huyapa kipaumbele mawasiliano, lakini mawasiliano hayo humpagawisha zaidi yakiwa ya kirafiki zaidi (fanya kama unawasiliana na rafiki yako, usiogope kumchombeza na utani inapobidi) na pia hukoshwa na wanaume wanaowajali.
Kwa upande wa mwanaume, yeye hisia zake huamka pindi anapoona shepu (wapo wanaopenda wenye figa za kibantu na wengine za kimiss).
Hivyo, kama mmefanikiwa kupata watoto wa wa kike hakikisheni mnawaeleza kuwa, nguo za aina fulani huamsha hisia za mapenzi kwa wanaume, kwa hivyo waache kuzivaa nyumbani hata mitaani kujiepusha na vishawishi.
Shukrani kwa mdau aliyetulitea makala hii...

Wednesday, July 1, 2009

Quiz of the Day

Would you marry / date someone who can't / wont keep a job?

Msaada wa malavidavi

Habari dada,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 40, na nilikuwa nimeoa kwa miaka 10 ila sikubahatika kupata mtoto, na ndoa yangu haikudumu na ikapelekea mimi kuachana na mke wangu. Sababu kubwa ni kwamba nilimfumania mke wangu na mwanaume mwingine hotelini wakiwa katika shughuli za kimahaba. Roho iliniuma sana na ikapelekea mimi kumfukuza mke wangu na kuachana nae. Kwa sasa nina mwaka mmoja tangu tuachane,ila kuna wakati huwa namkumbuka sana mke wangu.
Hivi majuzi mke wangu kanipigia akiniomba msamaha na kwamba angependa kurudi kwangu tuishi pamoja maana bado ananipenda. Dada mimi niko njia panda maana sielewi nimjibu nini kwa kipindi hiki, je nimruhusu arudi au nimkatalie? Tafadhali naomba wadau wanishauri maana niko njia panda. Kumpenda bado nampenda ila sijasahau alivyonitenda...
Tafadhali wekajina langu kapuni..
Asante sana dada....

Maswali muhimu katika mahusiano




Wapendwa wadau, leo ningependa tujiulize na kujikumbusha vitu vitatu ambavyo kwangu mimi naona ni muhimu kwenye mapenzi. Mara nyingi binadamu tunapenda kulaumu bila kujiuliza sababu za penzi kuporomoka, hivyo basi napenda kuwajulisha vitu vitatu ambavyo vinaweza kuchangia penzi lenu kuwa imara kila siku.




1. Muulize mpenzi wako ni vitu gani usivyopenda?


2. Ni kipindi gani tulifurahia pamoja na kwa sababu gani?


3. Ni wapi unadhani tunaelekea?




Monday, June 29, 2009

SWALI LA MDAU

Mdau mmoja jina kapuni anauliza, eti utajuaje kwamba unampenda mwenzako na uko tayari kuishi naye kama mwanandoa?
Na je kuna vigezo vyovyote vinatumika kama kipimo cha kutambua hili?
Wadau karibuni mchangie kumsaidia mwenzetu, maana yuko njia panda na ndoa ana hamu nayo haswa...

Are you ready for starting a Relationship?


When you look at yourself in a mirror, all you see is the outside, but who is that person looking back at you?
How could another person understand you, if you do not even know yourself? What do you have to offer? Nothing if you lack the knowledge and information of who you are! This is why going through a self-check is important. Get to know yourself first by knowing what you like and dislike, what your goals in life are and what makes you feel great about YOU.


Getting in touch with your fears will also guide you into more self-realization and love.
First figure what your fears are. Are you afraid of getting involved with someone seriously, in fear of getting dumped in the long run? Or has a past relationship damaged your image of love; due to the pain it caused you? These are all understandable fears and almost everyone has them, but you should not let these fears stop you from moving on or being happy. You need to rebuild confidence in yourself and others. Other examples would be fear of not being good enough and fear of missing out on other adventures. Whatever your fear may be, you must trap that fear, find out the causes and then work on a solution on how to conquer them.


Being sexually confident will help your relationship stay happy and exciting.
The next time you look into your mirror, take a good look at yourself and make mental notes of what you do and do not like about your physical appearance. By acknowledging this, you will be able to work on the areas that make you feel uncomfortable and unattractive about yourself so that you will not feel that way when you get involved with someone. You will feel free to act and move whichever way you desire to in the bedroom, without fearing that your partner will judge you. The two of you should experience lovemaking as an exciting, emotional and entwining experience, not a body judging session.


Having your own independent and personal life organized first is key to maintaining healthy, loving and stable relationships. It will leave your mind and heart open to learning about your partner instead of trying to figure yourself out at the same time, which can cause resentment and doubt down the road.

MESSAGE OF THE DAY




MALE LIFE CYCLE


Mie simo wajameni, nawakilisha picha kama nilivyopokea kutoka kwa mdau....

Thursday, June 25, 2009

WHAT MEN WANT IN A WOMAN????


Mimi nawakilisha mada kwenu kwa kutaja mambo muhimi matano, kama kuna la ziada tafadhali changia mjadala. Kubisha pia inaruhusiwa... Wanaume mpo na akina dada je?

1. Wanaume hupenda mwanamke mpole na mkweli

2. Mwenye upendo na kujali

3. Ambaye ni mcheshi na rafiki

4. Mwanamke anayejiamini

5. Mwanamke anayejua kupika


Wadau mpo au hili changa la macho?

KINDS OF SEX

Results of a recent research shows that there are 7 kinds of sex.
The 1st kind of sex is called: Smurf Sex.This kind of sex happens when you first meet someone and you both have sex until you are blue in the face.
The 2nd kind of sex is called: Kitchen Sex. This is when you have been with your partner for a short time and you are so needy you will have sex anywhere, even in the kitchen.
The 3rd kind of sex is called: Bedroom Sex. This is when you have beenwith your partner for a long time. Your sex has gotten routine and you usually have sex only in your bedroom.
The 4th kind of sex is called: Hallway Sex * This is when you have beenwith your partner for too long. When you pass each other in the hallway you both say 'screw you.'
The 5th kind of sex is called: Religious Sex. Which means you get Nun in the morning, Nun in the afternoon and Nun at night.(Very Popular).
The 6th kind is called Courtroom Sex. This is when you cannot stand your wife any more. She takes you to court and screws you in front of everyone.
And; Last, but not least,
The 7th kind of sex is called: Social Security Sex. You get a little each month But not enough to enjoy your self.

Wednesday, June 24, 2009

VYUMBANI MWETU




Mjadala wetu kwa leo, ungependa kuangalia zaidi suala la vyumba vya kulala. Kuna mdau yeye kasema chumbani ni lazima pawe na mazingira fulani ili yeye awe na hamu ya kufanya mapenzi na mwenzi wake. Yeye anasema bila chumba kunukia udi au maua, anakuwa hana hamu kabisa ya tendo la ndoa. Kwa kuwa tupo kwa ajili ya kuelimishana sio vibaya tukachangia mawazo ni nini haswa mazingira yanayotakiwa chumbani, na kama kuna uhusiano kati ya chumba na tendo la ndoa.

SWALI LA LEO

Do men believe in love at first sight???? Wadau naomba mchangie maana hapa nilipo kuna mabishano sana, kila mtu anajaribu kujielezea upande wake...

Tuesday, June 23, 2009

Sexless Marriage - Msaada tutani


Mdau wa nchi za watu kaniletea tulijadili hili...


I've been married almost 40 years with two grown children. I consider myself a Christian. My husband has not had sex with me for over 16 years. Prior to that it was seldom, maybe 1/2 dozen times a year. It was by his choice as I have always loved sex.
In desperation, almost 15 years ago, I became involved with a married man whose situation was quite similiar. We took care of each others sexual needs but neither ever wanted a divorce from their spouses.
Except for the total lack of sex my husband and I get along reasonable well and neither have any interest in a divorce. Even prior to the start of my affair he had serious ED problems but has refused, and still refuses, to see a dr., try Viagra, etc. He absolutely refuses any kind of counseling. He is a porn addict, always has been, although I did not know this before the marriage.
Six months ago the guilt caught up with me and I ended the affair but had a talk with my husband, asking him to see a dr. try Viagra and that I did not want to live as brother and sister. He said ok but virtually nothing has happened. I still do not want a divorce but the total lack of sex is catching up with me.
Has God decided to punish me and make me go the rest of my life with no sex? Other than a divorce is there no middle ground? I am thinking about starting up the affair again but am afraid of the guilt that will go with it. I cannot even get my husband to attempt to satisfy me with his hands, mouth, sex toys, etc. so its either the affair or divorce. I'm looking for a choice other than divorce that will satify my sex needs and will not kill me with that awful guilt. Why is it so wrong to enjoy sex?

MAJISIFU BAADA YA NGONO


Wasalaam wapenzi wa kablog ketu ka malavidavi na pesa.

Kuna suala zima limekuwa likinitatiza sana mara kwa mara ninapokuwa vijiweni au kwenye mijumuiko ya kijamii, na suala hili ni majisifu baada ya mtu kufanya mapenzi/ngono na mwenzie. Utakuta kijana anajisifia kwa wenzake, eti mimi yule demu nshamkaza sana au nshazini nae sana tu. Mtu huyu anachukulia kama vile kitendo hicho ni cha ufahari sana mbele za watu. Maswali ninayojiuliza mpaka leo sipati majibu ni; Hivi kutenda ngono na mtu ni sifa? Na kama mlikuwa wawili wakati wa ngono, jamii inahusika vipi na habari hii? Au nia huwa ni kumchafulia tabia mwenzako na kumdhalilisha?

Binafsi sioni cha ajabu sana kuhusiana na hili, maana ni maamuzi yenu wenyewe, tena mtu mwingine utakuta anamuongelea mke mtarajiwa wake namna hiyo. Sasa hii ni sifa au ulimbukeni????

Wadau yangu ni hayo tu kutoka mtaani kwetu. Karibuni kwa mchango wa mawazo.

Monday, June 22, 2009

FUMANIZI LA LEO

Mjadala wa nyumba ndogo unaendelea na kujaribu kuangalia upande wa jinsia ya kiume. Je wanaume wanaotembea na wake za watu nao ni mahawara au nyumba ndogo aka small house??? Haya yamemkuta mdau wa ughaibuni alinusura apoteze maisha.

MDAU KAWASILISHA MADA

Shukrani natanguliza kwa haka kalibeneke. labda tu kwa kuanza niseme siwezi kutetea ni nani bora kati ya hawara au nymba ndogo,ila nielekeze mchango kwa kujibu swali la"ninini hasa humfanya mwanamume kuchepuka nje ya ndoa"mimi kama mwanamume kwanza niseme hapa kuna sababu nyingi tu zinazopelekea mwanamume kuchepuka nje ya ndoa.nazigawa kama ifuatavyo:-
1.mahusiano mabaya ndani ya ndoa yanayopelekea ndoa kutokuwa mahala pa kupumzika bali mahali pa kujibu tuhuma na kuwekwa kitimoto cha hapa na pale hata bila sabau za msingi.
2.HAPA SASA MTANIWIA RADHI;nikweli kabisa mwenyezi mungu kasisitiza watu wasifanye uzinifu kabla ya na nje ya ndoa lakini kutokana na udhaifu wa binadamu unaochangiwa na sababu nyingi hupelekea binadamu huyu kuanza tendo la ngono kabla ya ndoa na maranyingi uhusiano huu huwa namahusiano haya na wasichana tofauti ktk maisha yake. Napenda nijitolee mfano mimi mwenyewe kilicho nitokea mimi nikiweza kujiwekea lengo la kuoa bila kuwahi kushiriki tendo la ngono,nikasoma hadi nikamaliza chuo,lakini katika pilika za hapa na pale nikajikuta nakwenda nje kusoma ktk elimu ya juu zaidi na uwezekano wa kuoa sikuwa nao, ndipo sasa mwili ukanilemea nikashindwa kujizuia zaidi nikaamua nitafute girlfriend,nikampata mtoto wa kizungu tuliyekuwa tunasoma naye, nikawa na mahusiano naye kisha alipochoka akaamua tuachane. Alipo tema mzigo tu nikapata tena mwingine na hapa NIKAANZA KUONA TOFAUTI KATI YA A na B. Nikweli wasichana wote hawafanani kitandani, kuna tofauti kubwa sana kati ya mmoja na mwingine,hadi sasa nikajikuta kamchezo hako ka kuwa na uhusiano una vunjika kwa sababu zinazolazimu bila ugomvi kama vile kuhama, kumaliza masomo n.k na kwakuwa hawakuwa tayari ktk kuoana nimejikuta tayari nimekuwa na ma girfriend 10 ndani ya 41/2 yr. Kwa bahati mbaya wote ni wasichana wa kizungu UTAMU WENYEWE NDIO HUU:
Katika hizo pitapita zangu kilinitokea kitu kilichonifanya nikaanza ku-cheat on one of them,nacho ni hiki:=yule msichana alikuwa ni mrembo sijawahi kuwa na gf mrembo kama yule kabla na baada,kusema kweli she is cute kwa sifa zote kuanzia sura,figure etc yaani mtu akiona unacheat hatakuelewa kwani mwingine anamtamani kwa nje, lakini JAMANI nyie ni watu wazima nadhani mtaelewa nachosema hapa,yaani kitandani nilikuwa naliona tendo la sex na yeye kama ni adhabu napata:
1.hajui kuserebuka kabisa
2.alikuwa pale kwa bibi ni kwa baridi sana kisha yaani sijui nisemeje hakunipi hisia yoyote kabisa,kamavile nimeingia sijui wapi vile,very sleamy and verybad experince indeed. SASA NIKAJIULIZA JE KAMA INGEKUWA NDO YALE YA KUOANA MBUZI NDANI YA GUNIA JE NINGEFANYAJE?MAANA SIJARIDHIKA NA MBUZI MWENYEWE! nadhani ningelazimika kucheat sio kwa sababu napenda ila kwasababu nilisha onja nanasi kwa A,Embe kwa B,chungwa kwa C,ndimu kwa D, kisha nikakuta tango/palachichi kwa E. Sasa kwakuwa silipendi tango mie ikawa tabu kwangu, kwa ufupi na experince yangu hiyo nadhani chanzo kikubwa huwa ni hicho(to find a different flavour baada ya kuwa hujui namna ya kulila tango kama hukujuwa tangu awali,au tamaa baadaya ya chungwa lako kuanza kuchacha na ukashindwa kulimaintain liwe ktk flavour nzuri)
(Siyo mimi jamani ni mmoja wa wadau ametoa mchango wake katika haka kalibeneke ketu)

PESA NA STRESS

Wapendwa wadau, leo nimekuja na hoja kuhusu uhusiano kati ya pesa na stress. Utakuta mtu analalamika akiwa hana pesa eti ana stress sana. Hivi kweli kuna uhusiano kwenye hivi vitu viwili au binadamu tunapenda sana kujitafutia sababu za stress?
Namalizia kwa kunukuu maneno yafuatayo; kumradhi nukuu yenyewe iko kwenye lugha ya kigeni na mkalimani yuko mbali.

" A recent study from Ohio state university found that people with financial problems, in particular credit card debt, suffered from more emotional problems than those who did not have money related stress". Mwisho wa nukuu, nasubiria hoja zenu wadau...

WOMAN VS MAN




Hivi mbona mnatuonea sana jamani, mdau mmoja engineer kanitumia theory zake za kumuelezea mwanamke,sasa sijui kama ina ukweli au la, nawaachia wadau mjionee wenyewe. Mimi mwenyewe hesabu not reachable naona maluweluwe tu..

SEX AKA TENDO LA NDOA NI AFYA

Shukrani kwa mdau aliyenitumia makala hii, na mimi sina hiyana nairusha kwenu moja kwa moja. Kuna mwenye hoja tofauti kuhusu hii habari???

Wengi huja na sababu lukuki linapokuja suala la kuwa mwili mmoja (kwenye ndoa) “mara kichwa kinauma” au “nimechoka sana leo” au “sijisikiii vizuri”lengo ni kukwepa sex.Hata hivyo tafiti nyingi zinaonesha kuwa kuna faida kubwa sana kupata huduma ya tendo la ndoa angalau mara mbili au tatu kwa wiki, kumbuka too much is harmful
FAIDA YA SEX KWA AFYA YA MWILIHuimarisha immune system kwenye mwili.Wanandoa ambao hushiriki angalau mara mbili kwa wiki walionesha kiwango kikubwa cha antibody zinazosaidia kupigana na magonjwa.
Huongeza umri wa kuishi.Wanaume ambao walikuwa wanafika kileleni (orgasm) zaidi ya miaka 10 wali- boost uwezo wa kuishi miaka zaidi kuliko wale ambao walikuwa na hawafiki kileleni.
Hupunguza uwezokano wa kupata prostate cancer.Wanaume ambao wali ejaculate zaidi ya miaka 35 walikuwa na asilimia 33 pungufu kupata prostate cancer.
Hupunguza cholesterol (mafuta)Kutokana na zoezi la kufanya mapenzi (sex) ni zoezi tosha kuweza kupunguza cholesterol na kuondokana na kupata magonjwa ya moyo.
Huimarisha mzunguko wa damu mwiliniTunapofanya mapenzi mapigo ya moyo huongezeka na mzunguko wa damu huwa na speed zaidi na damu huongezekana maradufu kwenye ubongo na sehemu zingine za mwili na matokeo ni mzunguko wa damu kuwa mzuri mwili mzima.
Huongeza uwezo wa kukua (growth)Watafiti wengi wanakiri kwamba sex huongeza uwezekano wa mifupa kukua na kuimarisha repair ya tishu kwenye mwili.
Huimarisha uwezo wa kunusaBaada ya sex, kuzalishwa kwa homoni ya prolactin huongezeka na huwezesha stem cells zilizopo kwenye ubongo kuzalisha neurons ambazo husaidia kunusa vizuri.
Hupunguza maumivu (pain relief)Unapokaribia kufika kileleni kiwango cha homoni za oxytocin huongezeka mara tano zaidi kuliko kiwango cha kawaida, matokeo ni kutolewa kwa endorphins ambayo hupunguza maumivu ya kila kitu kuanzia kichwa, arthritis nk.
Huimarisha kibofu cha mkojoWakati wa sex unatumia muscles zile zile unatumia kukojoa (urine), kutumia mara kwa mara kwa hii misuli huwezesha kuwa na uwezo wa kuthibiti kibofu cha mkojo.
Huimarisha ukeWanawake ambao huamua kutoshiriki sex wanakuwa na uwezekano wa kujisikia maumivu wakati wa sex (vaginal atrophy) kwa kushiriki mara kwa mara uke huwa mwepesi kutoa lubricant na hakuna maumivu.Hapa kuna kanuni “use it or lose it!
Husaidia healing ya vidondaBaadhi ya evidence zinapendekeza kwamba sex huweza kusaidia vidonda kupona haraka, ushahidi ni kwamba homoni za oxytocinhusaidia vidonda kupona kwa regeneration ya seli mwilini na oxytocinhuzalisha pale ukishiriki sex.
Hupunguza uwezekano wa kupata cancer ya matiti.Wanawake ambao hawajawahi kuzaa walionekana kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata cancer ya matiti, hii ina maana kwamba kujihusisha na sex hupunguza kupata cancer ya matiti.
FAIDA YA SEX KWA AFYA YA AKILI
Hupunguza stressSex huweza kupunguza stress kwa kupunguza kiwango cha masumbuko (anxiety) na kuongeza relaxation na kusaidia kuwa na usingizi mzuri.
Hupambana na depressionWanawake ambao walijihusisha na sex kwa kuwa contact na semen walikuwa less depressed kuliko wale wambao hawakufanya.
Hupambana na kuthibiti alama za kuzeekaSex hufanya mtu kuonekana kijana zaidi.Katika utafiti mmoja watu ambao walishiriki sex zaidi ya mara 3 kwa wiki walionekana ni vijana zaidi ya miaka 10 pungufu ukilinganisha na wale ambao walikwepa sex.
Huimairsha kujisikia upo fitDakika 30 za kufanya mapenzi huweza kuchoma kiasi cha 150 calories.Na mtu anayeshiriki sex kila mara 3 kwa wiki huweza kupunguza kilo 2.5 za uzito kwa mwaka. Pia sex huweza kunyumbua misuli na kupelekea mtu kuwa fit, pia hekaheka za milalo mbalimbali huweza kufanya contractions ya mapaja, mikono, mabega, shingo, tumbo, kifua, mgongo, matako, miguu, kiuno na pia sex huzalisha testosterone ambayo huimarisha mifupa na misuli.
Husaidia nywele kung’aa na ngozi kuwa imaraSex huongeza kiwango cha estrogen ambayo husaidia nywele kung’aa na ngozi kuwa imara kwa mwanamke.
Husaidia meno kuwa imaraMara nyingi kabla ya sex wahusika hujitahidi kusafisha meno (brushing) kwa njia hii una kuwa imeimarisha afya ya kinywa.Pia wakati wa sex hasa maandalizi huhusisha kissing ambayo hufanya kazi nzuri kusafisha meno na fizi.Seminal plasma zinazozalishwa huwa na zinc, calcium na madini mengine muhimu kwa afya ya meno.
FAIDA YA SEX KWA AFYA YA UZAZIHusaidia kuwa na mzunguko mzuri za siku za mwanamke.Wanawake ambao hujihusisha na sex angalau siku moja kwa wiki huwa na mzunguko wa siku uliosawa tofauti na wale ambao hutoa visingizio.
Huimarisha fertilityKwa kuwa kushiriki sex hufanya mzunguko kuwa regular inakuwa rahisi mwanamke kushika mimba na kuzaa tofauti na mwanamke akiwa na mzunguko wa siku ambao ni irregular.
FAIDA KATIKA KIROHOWatafiti wengi wanakiri kwamba kuna sexual energy kama energyzingine ambayo wakati wa sex ikiunganishwa kati ya mwanaume na mwanamke hasa wakati wa kufika kileleni huweza kuwaunganisha wawili in deepest part of of selves.Na hii energy (non physical) huweza kuimarisha maeneo mengine ya maisha yetu, hutufanya kujisikia ni kitu kimoja na kuwa strongerzaidi katika nafsi na mahusiano kwa ujumla.Hivyo matokeo ni kujisikia vizuri wewe mwenyewe, mwenzi wako na maisha kwa ujumla.
TAHADHARI:Hii mada ni kwa ajili ya kupeana habari tu (ndiyo maana hakunareference links, ingawa unaweza mwenyewe ku- Google),Jambo la msingi ni kwamba kuna umuhimu wa hali ya juu sana kuzingatia kwamba hapa tunazungumzia sex katika ndoa tu na si zaidi ya hapo.Pia ni muhimu kuzingatia kwamba ili kushiriki sex ni muhimu kuangalia afya ya mwenzi wako, maadili na kutii sheria na amri za Mungu otherwise badala ya sex kukupa afya inaweza kukuua kimwili na kiroho.

Friday, June 19, 2009

MAANA YA NDOA




Ningependa kuelewa nini maana ya ndoa kutoka kwenu. Nia yangu ni kutaka kupata mitazamo mbalimbali kutoka kwenu mnavyoelewa kuhusu hili. Kuna mdau yeye kasema ndoa ni tendo la ngono, kuna ukweli hapo au anatudanganya? Mwenye majibu zaidi anakaribishwa.

HAWARA VS NYUMBA NDOGO

Nimekutana na wadada wakibishana kuhusu hawara na nyumba ndogo, kila mmoja akitetea upande wake yupi anaheshimika zaidi. Nijuavyo mimi wote ni wezi wa ndoa za watu na hakuna mwenye kuheshimika zaidi. Sasa wadau sijui mnasemaje kuhusu hili. Na ukimfumania mumeo au mkeo kitandani na mtu mwingine nini cha kufanya? Ni kipi haswa huwafanya mpaka wanaume wahamie kwa hawara au nyumba ndogo?
Tupo hapa kwa ajili ya kuelimishana kunusuru ndoa nyingi, karibuni tuchangie mawazo.

Thursday, June 18, 2009

WHAT WOMEN WANT WHEN 30 YEARS OLD

Women in their early thirties are rethinking the way they approaching their careers. It was very common for many women in their early thirties to choose a career over love and romance. The priority today it seems is finding a man and settling down. Whatever it takes to get ahead in business is not top priority. Putting their relationships and personal lives ahead of their careers has for many women becoming very rewarding. The big 30 is like a milestone where women feel they are more attractive to the opposite sex and the thought of being unappealing in the late thirties and single was not welcoming.
More and more women however, are having their first child in their late thirties as a result of the career aspirations. This was the trend over the past ten years but the thirty years mark will continue to be the marking point.


DOES THIS ARTICLE MAKE SENSE AT ALL????

Thursday, June 11, 2009

PERFECT MAN/WOMAN

Is it true that there is a perfect man or woman?

THE BEDROOM QUIZ


Do you believe your girlfriend or wife when she claims to have an orgasm?

STYLE ZA KULALA NA MAJINA YAKE













Woman depends on man sleeping style

Trust each other sleeping style

Sayang & usually old man & Young women sleeping style

The Royal Position

The Honeymoon Hug





Loosely tethered Sleeping Style

Wednesday, June 10, 2009

KUNUNUA NGONO

Leo ni leo, mjadala unaendelea kwa kasi sana, yaani inabidi tujadili suala hili. Hivi kwa nini watu wananunua wenzao kwa ajili ya kutenda nao ngono? Karibuni barazani tufahamishane.

MAMBO YA MSALANI NA KUJIKUNA


Jamani jamani jamani, hivi kwa nini wanaume wengi hawanawi mikono wakishajisaidia haja ndogo? Halafu utakuta mtu anakusalimia kwa kukupa mkono na unashindwa kukataa unakubali matokeo.

Mwingine ati kila akikaa shurti ajikunekune sehemu zake kila wakati, hivi ni ugonjwa au ndio mapozi yenyewe?

Yangu ni hayo tu kwa leo.

Tuesday, June 9, 2009

MARRIAGE PROPOSAL

Quick proposal, feelings remain for ex?

TENDO LA NDOA


MJADALA: Nani hufurahia zaidi tendo la ndoa kati ya mwanaume na mwanamke????






MAPENZI NA PESA


Hivi jamani ni kweli kwamba magomvi na malumbano mengi kwenye familia zetu husababishwa na masuala ya 'pesa' aka 'mshiko' kama watoto wa mjini wanavyosema?

Na je ni lazima umuelezee mpenzi wako kuhusu matumizi yako ya pesa (binafsi) kila mara?


Karibuni tujadili..

SEXUAL DESIRE


Nimesikia hili neno katika mazungumzo mengi ya mtaani
kwetu na ningependa haswa kufahamu wadau mnaelewaje
kuhusu haya maneno.
Nini haswa maana ya sexual desire?

Kuna mwenye jibu hapo?

NINI MAANA YA SEX


Wadau natanguliza shukrani zangu kwenu, na ninafungua blog kwa mada ya kwanza kabisa ikilenga haswa kutaka kufahamu wenzangu mnaelewa nini kuhusu neno sex.

Swali ni; Nini maana ya sex? / What is sex?
Kwa wale wadau wa kiinglishi mnaruhusiwa kutumia lugha hiyo kujieleza pia.