MJADALA: Nani hufurahia zaidi tendo la ndoa kati ya mwanaume na mwanamke????
MSD YAPONGEZWA KWA MABORESHO YA HUDUMA MKOANI KAGERA
15 minutes ago
Karibu sana katika blog yangu, utajifunza mengi kutoka humu na kuchangia mada muhimu zinazoizunguka jamii yetu kwenye masuala haya muhimu. Chukua mkeka na kigoda na kaa tayari kwa mkao wa kupata mada motomoto.... Tafadhali tumia lugha nzuri ya kiingereza au Kiswahili.
Inategemeana na wawili; kuna uwezekano wote wakafaidi au mmoja au hakuna.
ReplyDeletemwanaume
ReplyDeletemi naona mwanaume na ndio maana huwa wanakojoa (fika kilele) mapema kuliko wanawake..... uhondoo!!!
ReplyDeleteMwanaume ndiye anayefurahia zaidi tendo la ndoa,wanawake waliowengi wanapokua na wapenzi wao hawawazi tendo la ndoa bali huwaza zaidi matatizo walionao hivyo huwafanya wachelewe kufika kileleni.
ReplyDelete