Thursday, June 25, 2009

WHAT MEN WANT IN A WOMAN????


Mimi nawakilisha mada kwenu kwa kutaja mambo muhimi matano, kama kuna la ziada tafadhali changia mjadala. Kubisha pia inaruhusiwa... Wanaume mpo na akina dada je?

1. Wanaume hupenda mwanamke mpole na mkweli

2. Mwenye upendo na kujali

3. Ambaye ni mcheshi na rafiki

4. Mwanamke anayejiamini

5. Mwanamke anayejua kupika


Wadau mpo au hili changa la macho?

No comments:

Post a Comment